UTANGULIZI
Leo kombe la dunia linaanza Russia 2018 katika michuano ya robo fainali.Katika kuanza kwa robo fainali leo mechi ya pili ni ya Brzil v/s Beligium. Wengi ndio inasemekana kuwa ni kama fainali ya kombe la dunia.Je,wafahamu mpangilio wa timu hizi mbili za robo fainali??.Fuatana nami sasa.
KIINI
Kupitia video hii waweza kuona uchambuzi wa mpangilio wa timu hizi kuu mbili katika mechi ya ufunguzi wa robo fainali za kombe la dunia Russia 2018.Tazama hapa chini.
KIINI
Je,kati ya Brazil na Belgium nani anashinda??.Toa maoni yako ukiwa hapa soma kidigitali kwa kujisajili pia tembelea soma kidigitali You tube channel kwa kubofya hapa https://www.youtube.com/channel/UCL1WQPFyi_l2g0MS3WC35mA
Maoni
Chapisha Maoni