Hakika huwezi amini kwa urahisi hata kwa kuambiwa au kutazama katika mechi iliyopigwa baina ya Spain na Russia.Mpaka dakika 120 walitoshana nguvu
Mwisho wa siku haya ni mashindano na mshindi lazima apatikane mshindi ndipo walipopiga penait .Katika penait zilizopigwa Russia wamefunga 4 dhidi ya Spain ambao wamefunga magoli 3.
Hakika endelea kufuatilia michuano ya kombe la dunia ukiwa na soma kidigitali.Usipoteze muda jisajili sasa katika blog hii
Maoni
Chapisha Maoni