UTANGULIZI
Je,ulikuwa unafikiria kuwa Saudi Arabia ingeshinda Match yao leo hii dhidi ya Egypt ??.Mmmh najua wengi hamkuwafikiria kabisa kama wangeweza tengeneza maajabu haya .Wataka kufahamu yalifungwaje? .Ambatana nami
KIIINI
Saudi Arabia imeshinda magoli mawili(2) dhidi ya Egypt ambayo ni goli la Kwanza ni la penait baada ya kukosa penaiti ya kwanza waliyopata na Goli la pili(2) si la penait.Egypt wamejipatia bao lake kutoka kwa mchezaji nguli Sala
HITIMISHO
Na huo ndio mpira usiyemdhaniya ndiye mshindi na unayemdhani asiwe mshindi.Endelea kutembelea blog hii upate kufahamu habari nyingi kuhusu kombe la dunia 2018.
Maoni
Chapisha Maoni