UTANGULIZI
Karibuni tena katika blog hii leo tutaendelea na mfululizo wa masomo ya elimu ya sekondari kwa njia ya video.Karibu sana endelea kunifuatilia ufahamu leo tunajifunza nini???
KIINI
Kwa kipindi cha sasa tutajifunza somo la biology .Wajiuliza ni mada gani sasa?.Jibu rahisi utajifunza mada ya KINGDOM MONERA ambayo inafundishwa kidato cha kwanza katika elimu ya sekondari .Basi tuendelee sasa somo hili utajifunza kirahisi kupitia video hii kirahisi kwa kubofya kitufe chekundu hapo katikati.
HITIMISHO
Bakia katika blog hii ujifunze masomo ya sekondari kwa urahisi uachane na kusoma kinadharia tu.Karibu sana soma kidigitali.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni